Mpalestina aliyeshinda tuzo ya Grammy ashambuliwa na walowezi wa Israel na kukamatwa na jeshi

Image
 Mshindi wa tuzo ya Oscar ya Palestina ameshambuliwa na walowezi wa Israel, wanaharakati walioshuhudia tukio hilo wanasema, kabla ya kukamatwa na jeshi la Israel. Hamdan Ballal, mmoja wa wakurugenzi wenza wanne wa shirika la ‘No Other Land{hakuna Ardhi Nyingine} , alikuwa na nyumba yake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa na Israel ikiwa imezingirwa na walowezi wakati wa shambulio la Jumatatu, Kituo cha Kundi la Waasi wa Kiyahudi (CJNV) kilisema. Mkurugenzi mwenza Yuval Abraham alisema Bw Ballal alipigwa na walowezi kisha kuchukuliwa na wanajeshi akiwa kwenye gari la wagonjwa. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema hakuna Mpalestina aliyezuiliwa kutoka kwa gari la wagonjwa. Bila kumtaja Bw Ballal, IDF ilisema Wapalestina watatu na Muisraeli wamezuiliwa kwa tuhuma za "kurusha mawe" kwa vikosi vya usalama. Mwanaharakati ambaye alikuwa katika eneo la tukio aliambia BBC kuwa Wapalestina watatu waliozuiliwa, akiwemo Bw Ballal, walijeruhiwa katika shambulio la walowezi na sasa ...

Vita vya Ukraine: Marekani yatuma kwa siri makombora ya masafa marefu kusaidia Kyiv

 

th

CHANZO CHA PICHA,REUTERS

Ukraine imeanza kutumia makombora ya masafa marefu yaliyotolewa kwa siri na Marekani dhidi ya Urusi, maafisa wa Marekani wamethibitisha.

Silaha hizo zilikuwa sehemu ya msaada wa $300m (£240m) ulioidhinishwa na Rais wa Marekani Joe Biden mwezi Machi na ziliwasili mwezi huu.

Tayari zimetumika angalau mara moja kulenga shabaha za Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema.

Bwana Biden sasa ametia saini kifurushi kipya cha msaada cha $61bn kwa Ukraine.

Hapo awali Marekani iliipatia Ukraine toleo la masafa ya kati la Mifumo ya silaha za Makombora (ATACMS) lakini ilikuwa ikisita kutuma kitu chochote chenye nguvu zaidi, kwa sababu ya wasiwasi wa kuhatarisha utayari wa kijeshi wa Marekani.

Hata hivyo, Bw Biden anasemekana kuidhinisha kwa siri kutuma mfumo wa masafa marefu - ambao unaweza kurusha makombora umbali wa hadi 300km (maili 186) - mnamo Februari.

"Naweza kuthibitisha kwamba Marekani iliipatia Ukraine ATACMS ya masafa marefu kwa maelekezo ya moja kwa moja ya rais," msemaji wa idara ya serikali Vedant Patel alisema.

Unaweza Pia Kusoma

Marekani "haikutangaza hili mwanzoni ili kudumisha usalama wa oparesheni za vita nchini Ukraine kwa ombi lao", aliongeza.

Haijabainika ni silaha ngapi ambazo tayari zimetumwa, lakini Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani Jake Sullivan alisema Washington inapanga kutuma zaidi.

"Zitaleta mabadiliko. Lakini kama nilivyosema hapo awali kwenye jukwaa hili... njia rahisi," alisema.

Makombora hayo ya masafa marefu yalitumiwa kwa mara ya kwanza wiki iliyopita kushambulia uwanja wa ndege wa Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, shirika la habari la Reuters lilimnukuu afisa mmoja wa Marekani ambaye hakutajwa jina akisema.

Na makombora hayo mapya pia yalitumiwa katika shambulio dhidi ya wanajeshi wa Urusi katika mji wa bandari wa Berdyansk unaokaliwa usiku wa kuamkia Jumanne, kulingana na New York Times.

Miezi ya hivi karibuni imeshuhudia Kyiv ikiongeza wito wake wa kutaka usaidizi wa nchi za Magharibi huku akiba yake ya risasi ikipungua na Urusi ikipata mafanikio ya kutosha.

Kifurushi kipya cha msaada kinafuatia miezi kadhaa ya kukwama huku kukiwa na upinzani wa msaada kutoka kwa baadhi ya wabunge wa Congress.

"Itafanya Amerika kuwa salama zaidi, itafanya ulimwengu kuwa salama," Bw Biden alisema baada ya kutia saini kuwa sheria.

Akijibu maswali kuhusu kifurushi hicho, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema: "Sasa tutafanya kila kitu kufidia nusu mwaka iliyotumika katika mijadala na mashaka.

"Kile Urusi inachoweza kufanya wakati huu, anachopanga Putin sasa, lazima tumpinge."

Bw Zelensky hivi majuzi alionya kwamba mashambulizi ya Urusi yanatarajiwa katika wiki zijazo baada ya Ukraine kupoteza mji wa Avdiivka wakati wa majira ya baridi.

Vikosi vya Ukraine vimekumbwa na uhaba wa risasi na mifumo ya ulinzi wa anga katika miezi ya hivi karibuni na maafisa wamelaumu kucheleweshwa kwa msaada wa kijeshi kutoka kwa Marekani na washirika wengine wa Magharibi kwa kupoteza maisha na sehemu ya nchi yao.

Bw Sullivan alisema siku ya Jumatano "inawezekana kwa hakika kwamba Urusi inaweza kupata mafanikio zaidi katika wiki zijazo".

Tangu Urusi ilipoivamia Ukraine tarehe 24 Februari 2022, makumi ya maelfu ya watu, wengi wao wakiwa wanajeshi, wameuawa au kujeruhiwa kwa pande zote mbili na mamilioni ya watu wamekimbia makazi yao.

Vita vya Ukraine: Marekani yatuma kwa siri makombora ya masafa marefu kusaidia Kyiv

Na Kathryn Armstrong ,

BBC News

th

CHANZO CHA PICHA,REUTERS

Ukraine imeanza kutumia makombora ya masafa marefu yaliyotolewa kwa siri na Marekani dhidi ya Urusi, maafisa wa Marekani wamethibitisha.

Silaha hizo zilikuwa sehemu ya msaada wa $300m (£240m) ulioidhinishwa na Rais wa Marekani Joe Biden mwezi Machi na ziliwasili mwezi huu.

Tayari zimetumika angalau mara moja kulenga shabaha za Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema.

Bwana Biden sasa ametia saini kifurushi kipya cha msaada cha $61bn kwa Ukraine.

Hapo awali Marekani iliipatia Ukraine toleo la masafa ya kati la Mifumo ya silaha za Makombora (ATACMS) lakini ilikuwa ikisita kutuma kitu chochote chenye nguvu zaidi, kwa sababu ya wasiwasi wa kuhatarisha utayari wa kijeshi wa Marekani.

Hata hivyo, Bw Biden anasemekana kuidhinisha kwa siri kutuma mfumo wa masafa marefu - ambao unaweza kurusha makombora umbali wa hadi 300km (maili 186) - mnamo Februari.

"Naweza kuthibitisha kwamba Marekani iliipatia Ukraine ATACMS ya masafa marefu kwa maelekezo ya moja kwa moja ya rais," msemaji wa idara ya serikali Vedant Patel alisema.

Unaweza Pia Kusoma

Marekani "haikutangaza hili mwanzoni ili kudumisha usalama wa oparesheni za vita nchini Ukraine kwa ombi lao", aliongeza.

Haijabainika ni silaha ngapi ambazo tayari zimetumwa, lakini Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani Jake Sullivan alisema Washington inapanga kutuma zaidi.

"Zitaleta mabadiliko. Lakini kama nilivyosema hapo awali kwenye jukwaa hili... njia rahisi," alisema.

Makombora hayo ya masafa marefu yalitumiwa kwa mara ya kwanza wiki iliyopita kushambulia uwanja wa ndege wa Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, shirika la habari la Reuters lilimnukuu afisa mmoja wa Marekani ambaye hakutajwa jina akisema.

Na makombora hayo mapya pia yalitumiwa katika shambulio dhidi ya wanajeshi wa Urusi katika mji wa bandari wa Berdyansk unaokaliwa usiku wa kuamkia Jumanne, kulingana na New York Times.

Miezi ya hivi karibuni imeshuhudia Kyiv ikiongeza wito wake wa kutaka usaidizi wa nchi za Magharibi huku akiba yake ya risasi ikipungua na Urusi ikipata mafanikio ya kutosha.

Kifurushi kipya cha msaada kinafuatia miezi kadhaa ya kukwama huku kukiwa na upinzani wa msaada kutoka kwa baadhi ya wabunge wa Congress.

"Itafanya Amerika kuwa salama zaidi, itafanya ulimwengu kuwa salama," Bw Biden alisema baada ya kutia saini kuwa sheria.

Akijibu maswali kuhusu kifurushi hicho, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema: "Sasa tutafanya kila kitu kufidia nusu mwaka iliyotumika katika mijadala na mashaka.

"Kile Urusi inachoweza kufanya wakati huu, anachopanga Putin sasa, lazima tumpinge."

Bw Zelensky hivi majuzi alionya kwamba mashambulizi ya Urusi yanatarajiwa katika wiki zijazo baada ya Ukraine kupoteza mji wa Avdiivka wakati wa majira ya baridi.

Vikosi vya Ukraine vimekumbwa na uhaba wa risasi na mifumo ya ulinzi wa anga katika miezi ya hivi karibuni na maafisa wamelaumu kucheleweshwa kwa msaada wa kijeshi kutoka kwa Marekani na washirika wengine wa Magharibi kwa kupoteza maisha na sehemu ya nchi yao.

Bw Sullivan alisema siku ya Jumatano "inawezekana kwa hakika kwamba Urusi inaweza kupata mafanikio zaidi katika wiki zijazo".

Tangu Urusi ilipoivamia Ukraine tarehe 24 Februari 2022, makumi ya maelfu ya watu, wengi wao wakiwa wanajeshi, wameuawa au kujeruhiwa kwa pande zote mbili na mamilioni ya watu wamekimbia makazi yao.

th

CHANZO CHA PICHA,REUTERS

Ukraine imeanza kutumia makombora ya masafa marefu yaliyotolewa kwa siri na Marekani dhidi ya Urusi, maafisa wa Marekani wamethibitisha.

Silaha hizo zilikuwa sehemu ya msaada wa $300m (£240m) ulioidhinishwa na Rais wa Marekani Joe Biden mwezi Machi na ziliwasili mwezi huu.

Tayari zimetumika angalau mara moja kulenga shabaha za Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema.

Bwana Biden sasa ametia saini kifurushi kipya cha msaada cha $61bn kwa Ukraine.

Hapo awali Marekani iliipatia Ukraine toleo la masafa ya kati la Mifumo ya silaha za Makombora (ATACMS) lakini ilikuwa ikisita kutuma kitu chochote chenye nguvu zaidi, kwa sababu ya wasiwasi wa kuhatarisha utayari wa kijeshi wa Marekani.

Hata hivyo, Bw Biden anasemekana kuidhinisha kwa siri kutuma mfumo wa masafa marefu - ambao unaweza kurusha makombora umbali wa hadi 300km (maili 186) - mnamo Februari.

"Naweza kuthibitisha kwamba Marekani iliipatia Ukraine ATACMS ya masafa marefu kwa maelekezo ya moja kwa moja ya rais," msemaji wa idara ya serikali Vedant Patel alisema.

Unaweza Pia Kusoma

Marekani "haikutangaza hili mwanzoni ili kudumisha usalama wa oparesheni za vita nchini Ukraine kwa ombi lao", aliongeza.

Haijabainika ni silaha ngapi ambazo tayari zimetumwa, lakini Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani Jake Sullivan alisema Washington inapanga kutuma zaidi.

"Zitaleta mabadiliko. Lakini kama nilivyosema hapo awali kwenye jukwaa hili... njia rahisi," alisema.

Makombora hayo ya masafa marefu yalitumiwa kwa mara ya kwanza wiki iliyopita kushambulia uwanja wa ndege wa Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, shirika la habari la Reuters lilimnukuu afisa mmoja wa Marekani ambaye hakutajwa jina akisema.

Na makombora hayo mapya pia yalitumiwa katika shambulio dhidi ya wanajeshi wa Urusi katika mji wa bandari wa Berdyansk unaokaliwa usiku wa kuamkia Jumanne, kulingana na New York Times.

Miezi ya hivi karibuni imeshuhudia Kyiv ikiongeza wito wake wa kutaka usaidizi wa nchi za Magharibi huku akiba yake ya risasi ikipungua na Urusi ikipata mafanikio ya kutosha.

Kifurushi kipya cha msaada kinafuatia miezi kadhaa ya kukwama huku kukiwa na upinzani wa msaada kutoka kwa baadhi ya wabunge wa Congress.

"Itafanya Amerika kuwa salama zaidi, itafanya ulimwengu kuwa salama," Bw Biden alisema baada ya kutia saini kuwa sheria.

Akijibu maswali kuhusu kifurushi hicho, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky alisema: "Sasa tutafanya kila kitu kufidia nusu mwaka iliyotumika katika mijadala na mashaka.

"Kile Urusi inachoweza kufanya wakati huu, anachopanga Putin sasa, lazima tumpinge."

Bw Zelensky hivi majuzi alionya kwamba mashambulizi ya Urusi yanatarajiwa katika wiki zijazo baada ya Ukraine kupoteza mji wa Avdiivka wakati wa majira ya baridi.

Vikosi vya Ukraine vimekumbwa na uhaba wa risasi na mifumo ya ulinzi wa anga katika miezi ya hivi karibuni na maafisa wamelaumu kucheleweshwa kwa msaada wa kijeshi kutoka kwa Marekani na washirika wengine wa Magharibi kwa kupoteza maisha na sehemu ya nchi yao.

Bw Sullivan alisema siku ya Jumatano "inawezekana kwa hakika kwamba Urusi inaweza kupata mafanikio zaidi katika wiki zijazo".

Tangu Urusi ilipoivamia Ukraine tarehe 24 Februari 2022, makumi ya maelfu ya watu, wengi wao wakiwa wanajeshi, wameuawa au kujeruhiwa kwa pande zote mbili na mamilioni ya watu wamekimbia makazi yao.

Source BBC NEWS

Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)