Trump aitaka Iran kuingia makubaliano ya nyuklia, akionya kuhusu mashambulizi ya kikatili zaidi

  Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran kufanya makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia, akisema aliipa Tehran nafasi baada ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran kuhusu makubaliano yalikuwa yanakaribia kuingia awamu ya sita Jumapili. "Niliwaambia, kwa maneno makali, "fanyeni tu," ingawa walijaribu sana, haijalishi walikuwa karibu vipi, hawakuweza kufanikiwa," Trump anaandika kwenye mtandao wa kijamii wa Truth. "Iran lazima ifanye makubaliano na kuokoa kile ambacho hapo awali kilijulikana kama Dola ya Iran. Hakuna kifo tena, hakuna uharibifu tena, FANYA TU, KABLA HAMJACHELEWA." Hapo awali Trump alisema anafahamu mipango ya Israel kabla ya kuanza mashambulizi usiku kucha, lakini aliweka wazi kuwa wanajeshi wa Marekani hawakushiriki katika operesheni hiyo.

UWABATA TANGAZO

 


TAARIFA KWA UFUPI,


TUMEBORESHA BLOG YETU KWA KUWEKA FOMU YA USAJILI UPANDE WA KUSHOTO KWA JUU KWENYE HIZO MISTARI MITATU HAPO JUU YA BLOG KUSHOTO,


ZIBONYEZE HIZO MISTARI MITATU KISHA SHUKA CHIZI KWENYE LINK YA BLUE KISHA BONYEZA LINK ANZA KUJAZA FOMU YAKO ILI KUPATA KITAMBULISHO CHAKO MAPEMA 


KUJAZA FOMU KWA KUTUMIA BLOG UNAPATA KITAMBULISHO CHAKO BURE KABISA BILA YA MALIPO YOYOTE 


KARIBUNI VYOTE VIONGOZI WAPYA WA UWABATA 


SHUKRAN


Wenu Mtiifu,


mwenyekiti uwabata


Comments

BIGBOSS said…
Kitambulisho kipo
BIGBOSS said…
Ahsante nimepata kitambulisho changu,
Unknown said…
Kitambulish boss

UWABATA TV

INSIGNIA LIMITED COMPANY

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)