Trump aitaka Iran kuingia makubaliano ya nyuklia, akionya kuhusu mashambulizi ya kikatili zaidi

  Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran kufanya makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia, akisema aliipa Tehran nafasi baada ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran kuhusu makubaliano yalikuwa yanakaribia kuingia awamu ya sita Jumapili. "Niliwaambia, kwa maneno makali, "fanyeni tu," ingawa walijaribu sana, haijalishi walikuwa karibu vipi, hawakuweza kufanikiwa," Trump anaandika kwenye mtandao wa kijamii wa Truth. "Iran lazima ifanye makubaliano na kuokoa kile ambacho hapo awali kilijulikana kama Dola ya Iran. Hakuna kifo tena, hakuna uharibifu tena, FANYA TU, KABLA HAMJACHELEWA." Hapo awali Trump alisema anafahamu mipango ya Israel kabla ya kuanza mashambulizi usiku kucha, lakini aliweka wazi kuwa wanajeshi wa Marekani hawakushiriki katika operesheni hiyo.

NAFASI ZA KAZI MRADI WA UMEME RUFIGI

MRADI WA UMEME RUFIGI June 2021


JVACEE is a Joint venture company of Arab Contractors and El-sewedy Electric, dealing with the scope of Engineering, Procurement & Construction of Julius Nyerere Hydropower Project in Stigler’s Gorge in Tanzania, which is expected to produce 2,115 MW of installed capacity.



Project Objectives:

Generating electricity with capacity of 2115MW to satisfy energy needs in Tanzania Control water flow in the period of flooding and thus providing the necessary water requirement


Scope of Work:

-Main dam for storage of water to generate hydropower using RCC concrete for main dam with total length 1025m at crest level and 130m dam level

-Construction of 4 saddle dams for reservoir impounding of water with length of 1.4km, 7.9km, 4.6km and 2.6km with a maximum height 21.3m, 14m, 12.4m and 5.5m respectively, with a capacity to impound approximately 33 billion m3 of water

-Construction of a hydropower plant with a capacity of 2115mw and a substation of 400kv; in addition to 400kv transmission lines to the nearest point of the public network

Bonyeza link kujaza fomu 

Ajirablog


Comments

Unknown said…
Nipo tayari nahitaji kazi hiyo

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

INSIGNIA LIMITED COMPANY

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)