Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

NAFASI ZA KAZI MRADI WA UMEME RUFIGI

MRADI WA UMEME RUFIGI June 2021


JVACEE is a Joint venture company of Arab Contractors and El-sewedy Electric, dealing with the scope of Engineering, Procurement & Construction of Julius Nyerere Hydropower Project in Stigler’s Gorge in Tanzania, which is expected to produce 2,115 MW of installed capacity.



Project Objectives:

Generating electricity with capacity of 2115MW to satisfy energy needs in Tanzania Control water flow in the period of flooding and thus providing the necessary water requirement


Scope of Work:

-Main dam for storage of water to generate hydropower using RCC concrete for main dam with total length 1025m at crest level and 130m dam level

-Construction of 4 saddle dams for reservoir impounding of water with length of 1.4km, 7.9km, 4.6km and 2.6km with a maximum height 21.3m, 14m, 12.4m and 5.5m respectively, with a capacity to impound approximately 33 billion m3 of water

-Construction of a hydropower plant with a capacity of 2115mw and a substation of 400kv; in addition to 400kv transmission lines to the nearest point of the public network

Bonyeza link kujaza fomu 

Ajirablog


Comments

Unknown said…
Nipo tayari nahitaji kazi hiyo

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)