Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

https://mabumbe.com/jobs/branch-manager-at-uba-bank-february-2021/

Comments

BIGBOSS said…
Jina lako kiongozi
Robert joseph said…
Kiukweli linabuludisha sana
Unknown said…
Kiukweli hili kundi nimelipenda sana linaburudisha sana
Unknown said…
Tupate kushikamana na kujengana kifikra chanya ili kujenga uchumi wetu
BIGBOSS said…
Karibu Sana kiongozi
BIGBOSS said…
Karibu Sana mkuu
BIGBOSS said…
Tumekupata kiongozi
BIGBOSS said…
Umoja wetu nguvu yetu
Emmnauel george said…
Niungeni kwa group la whatsapp number 0757154190
Emmnauel george said…
Niungeni kwa group la whatsapp number 0757154190
Emmnauel george said…
Niungeni kwa group la whatsapp number 0757154190
Razack abeid said…
Niungekwenye group LA WhatsApp 0688979914
Safely Ngonya said…
0768448123
Nafurahia sana Huu umoja
Safely Ngonya said…
0768448123
Nafurahia sana Huu umoja
Unknown said…
Raymond Symphorian
Unknown said…
Napataje kitambulxho??
G said…
naombeni kuunganishwa na kundi nipate na kitambulisho 0678278060 whatsapp
BIGBOSS said…
Kupitia link 🔗
Jamani link sijazipata lakini niungeni kwenye group la WhatsApp 0652920492
Hats la telegram nitumie link yake
Na la fb
Lkn muhimu naotaji la WhatsApp

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)