Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini
.jpg)
Biden anasema "amehuzunishwa sana na kukasirishwa" na tukio hilo.
"Kulingana na kile nimeona inaonekana kana kwamba shambulio hilo lilitekelezwa na kundi jingi, sio wewe. Lakini kuna watu wengi huko nje ambao hawana uhakika, kwa hivyo lazima tukabiliane na mambo mengi," alisema.
BBC inajaribu kuunganisha vipande vidogo vidogo vya mlipuko wa hospitali ya jana usiku - ambao Hamas na mamlaka ya Palestina wanailaumu Israel kwa kutekeleza shambulio la angani.
Rais Biden anasema alitembelea Israel ili kuonyesha mahali Marekani iinaunga mkono katika mzozo huo.
Anaendelea kuelezea mauaji ya Hamas tarehe 7 Oktoba. Anasema "siyo sifa " kusema "walichinja" watu 1,300, ikiwa ni pamoja na Wamarekani 31.
Pia alizungumzia kuhusu mateka wa Israeli, pamoja na watoto.
"Hebu fikiria watoto hao waliokuwa wanajificha kutoka kwa Hamas walikuwa wanafikiria nini? Ni zaidi ya ufahamu wangu.
"Marekani itaendelea kuiunga mkono Israel, anasema, akimwambia Netanyahu: "Ninatazamia kuwa na mjadala kuhusu kile kinachotokea hapa.
"Anasema "ujasiri, kujitolea na ushujaa" wa watu wa Israeli "ni wa kustaajabisha", akiongeza "Najivunia kuwa hapa".
Comments