Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

ASSISTANT RESEARCH FELLOW-MEDICINAL CHEMISTRY

 


The Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS





APPLICATION TIMELINE:

2022-08-10 2022-08-24


DUTIES AND RESPONSIBILITIES

I.To undertake an induction, course in pedagogic skills for those who had none before;

II.To carry out lectures, conduct tutorials, seminars, and practicals for undergraduate programs;

III.To prepare and present case studies;

IV.To conduct and publish/disseminate research results;

V.To recognize students having difficulties, intervene and provide help and support;

VI.To participate in consultancies and community services under supervision;

VII.To attend workshops, conferences, and symposia; and

VIII.To perform any other duties that may be assigned by the relevant authorities.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Must be a holder of a Master’s Degree in Pharmacy,
 Chemistry, Medicinal Chemistry, and Pharmaceutical Chemistry,
 Quality control and Quality Assurance or Drug Analysis with a minimum GPA of 4.0 out of 5 and a minimum GPA of 3.8 out of 5 in the first degree in the following fields Pharmacy or Chemistry from a recognized reputable University with a minimum score of B+ in relevant subjects.

APPLY


Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)