Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

CUSTOMS ASSISTANT II TRA

 POST CATEGORY

ACCOUNTING AND AUDITING
HR & ADMINISTRATION
LEGAL
TAXATION AND SOCIAL PROTECTION

EMPLOYER

Tanzania Revenue Authority (TRA)

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i.To examine goods;

ii.To enter the Data into the Customs System;

iii.To maintain field records in the Customs system;

iv.To release goods when physical verification conforms;

v.To keep records and maintain documents;

vi.To check transit documents and shipping orders for bond cancellations; and

vii.To perform any other duties assigned by the supervisor.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Diploma in one of the following fields; Taxation, Customs, Accountancy, Business Administration, Law or equivalent qualifications from a recognized Institution.

 REMUNERATION
TRAS 3

APPLY


Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)