Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

RAILWAY SAFETY INSPECTOR

 ENGINEERING AND CONSTRUCTION

IT AND TELECOMS

Land Transport Regulator Authority(LATRA)
2021-11-19 2021-12-02
DUTIES AND RESPONSIBILITIES


i. To enforce compliance of good conduct and practices of railway transport service providers,

ii. To inspect if timetable for passenger trains is followed accordingly,

iii. To assess the competitiveness of charges levied in supplying the surface transport services and their conduciveness to sector growth or affordability to consumers.

iv. To promote improved utilization of railway services and inter-modal transport systems, 

v. To ensure that surface transport terminal operators adhere to tariffs approved by the Authority, 

vi. To assess adherence of licenses of service providers,

vii. To inspect railway stations, tracks, level crossings, structures, rolling stock and operating practices to determine compliance to approved safety plan and safety regulations.

viii. To assist in investigating complaints against alleged unsafe railway practices and conditions.

ix. To participate in field investigations of railway accidents.

x. To carry out any other duties as assigned by supervisor


QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Bachelor Degree or Advance Diploma in one of the following fields:- Signalling and Telecommunication Engineering, Electromechanical Engineering, Electrical & Electronics Engineering, Mechanical Engineering, Civil Engineering, Electrical Engineering or Transportation Engineering from any recognized institution.

APPLY HERE

Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)