Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

Job Opportunity at TRA, ICT Officer II (Business Analyst) Database Administration

 POST: ICT OFFICER II (BUSINESS ANALYST) DATABASE ADMINISTRATION – 1 POST

POST CATEGORY(S): IT AND TELECOMS

EMPLOYER: Tanzania Revenue Authority (TRA)

APPLICATION TIMELINE: 2021-10-22 2021-11-04


DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. To design, develop, implement and test Database;

ii. To develop back and front- end connectivity;

iii. To implement security policy and access control;

iv. To maintain physical organization of database objects;

v. To provide Database Client and User Services;

vi. To perform Database Administration and Maintenance;

vii. To support ICT end users;

viii. To execute pre-defined standards for operating procedures and the required database monitoring activities;

ix. To maintain database operations in line with the established common ICT architecture;

x. To implement the escalated System Database related problems (2nd and /or 3rd level) and their root causes and provides timely resolution to prevent recurring incidents;

xi. To provide optimum service delivery in a cost- effective way;

xii. To maintain database operations performance to meet Authority needs and expectations;

xiii. To conduct monitoring of system Databases to ensure it achieves the set service level and performance indicators;

xiv. To maintain and protect system databases related assets through their life cycle; and

xv. To perform any other duties as may be assigned by the Supervisor.


QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

Bachelor Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Computer Science, Information and Communications Technology, Software Engineering, Systems Engineering, System Security, Database Administration or equivalent qualifications from recognized Institutions.


REMUNERATION TRAS 4

The deadline for submitting the application is 04 November 2021.

CLICK HERE TO APPLY

Uza Bidhaa zako na SOKO HURU

SOKO HURU BONYEZA HAPA

Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)