Trump aitaka Iran kuingia makubaliano ya nyuklia, akionya kuhusu mashambulizi ya kikatili zaidi

  Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran kufanya makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia, akisema aliipa Tehran nafasi baada ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran kuhusu makubaliano yalikuwa yanakaribia kuingia awamu ya sita Jumapili. "Niliwaambia, kwa maneno makali, "fanyeni tu," ingawa walijaribu sana, haijalishi walikuwa karibu vipi, hawakuweza kufanikiwa," Trump anaandika kwenye mtandao wa kijamii wa Truth. "Iran lazima ifanye makubaliano na kuokoa kile ambacho hapo awali kilijulikana kama Dola ya Iran. Hakuna kifo tena, hakuna uharibifu tena, FANYA TU, KABLA HAMJACHELEWA." Hapo awali Trump alisema anafahamu mipango ya Israel kabla ya kuanza mashambulizi usiku kucha, lakini aliweka wazi kuwa wanajeshi wa Marekani hawakushiriki katika operesheni hiyo.

Job Opportunity at TRA, ICT Officer II (Business Analyst) Database Administration

 POST: ICT OFFICER II (BUSINESS ANALYST) DATABASE ADMINISTRATION – 1 POST

POST CATEGORY(S): IT AND TELECOMS

EMPLOYER: Tanzania Revenue Authority (TRA)

APPLICATION TIMELINE: 2021-10-22 2021-11-04


DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i. To design, develop, implement and test Database;

ii. To develop back and front- end connectivity;

iii. To implement security policy and access control;

iv. To maintain physical organization of database objects;

v. To provide Database Client and User Services;

vi. To perform Database Administration and Maintenance;

vii. To support ICT end users;

viii. To execute pre-defined standards for operating procedures and the required database monitoring activities;

ix. To maintain database operations in line with the established common ICT architecture;

x. To implement the escalated System Database related problems (2nd and /or 3rd level) and their root causes and provides timely resolution to prevent recurring incidents;

xi. To provide optimum service delivery in a cost- effective way;

xii. To maintain database operations performance to meet Authority needs and expectations;

xiii. To conduct monitoring of system Databases to ensure it achieves the set service level and performance indicators;

xiv. To maintain and protect system databases related assets through their life cycle; and

xv. To perform any other duties as may be assigned by the Supervisor.


QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE

Bachelor Degree or Advanced Diploma in one of the following fields: Computer Science, Information and Communications Technology, Software Engineering, Systems Engineering, System Security, Database Administration or equivalent qualifications from recognized Institutions.


REMUNERATION TRAS 4

The deadline for submitting the application is 04 November 2021.

CLICK HERE TO APPLY

Uza Bidhaa zako na SOKO HURU

SOKO HURU BONYEZA HAPA

Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

INSIGNIA LIMITED COMPANY

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)