Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

NAFASI ZA KAZI AMREF

 Amref Health Africa in Tanzania is a non-profit public health organization supporting the Government of Tanzania to address public health issues including maternal and child health, HIV, TB, Malaria and Nutrition in Tanzania since 1987.

Amref Health Africa in Tanzania is funded by The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) through CDC Tanzania, to execute a robust HIV care and treatment clinical cascade project aiming to accelerate the achievement of the current 95-95-95 goals and the HIV epidemic control in Tanzania.




The project branded as Afya Kamilifu Project is implemented in Tanga and Zanzibar since October, 2018, Simiyu Region since 2020. From October 2021 this project will extend its operations to Mara Region covering facility based and community based HIV care and treatment services. Afya Kamilifu project works – in collaboration with and with guidance from the Tanzania Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Zanzibar Ministry of health and President’s Office Regions Authority and Local Government (PORALG).

62 JOBS OPPORTUNITIES AT AMREF HEALTH AFRICA IN TANZANIA, 2021


APPLICATION INSTRUCTIONS

If you meet the criteria given above and interested in the vacancies, please send an application letter and CV combined in as one PDF document indicating your present employer and position, daytime telephone contact, names and addresses of three referees. All interviews will be conducted at Amref Health Africa country Office in Dar es Salaam for shortlisted applicants. To be considered, your application must be received by 16.30 HOURS August 07, 2021. The subject line of your job application email should mention the job position that you are applying as it appears in this advertisement. Failure to do that your application may not easily be retrieved.

All correspondences and applications should be emailed to: jobs.tanzania@amref.org


Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

INSIGNIA LIMITED COMPANY

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)