Trump aitaka Iran kuingia makubaliano ya nyuklia, akionya kuhusu mashambulizi ya kikatili zaidi

  Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran kufanya makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia, akisema aliipa Tehran nafasi baada ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran kuhusu makubaliano yalikuwa yanakaribia kuingia awamu ya sita Jumapili. "Niliwaambia, kwa maneno makali, "fanyeni tu," ingawa walijaribu sana, haijalishi walikuwa karibu vipi, hawakuweza kufanikiwa," Trump anaandika kwenye mtandao wa kijamii wa Truth. "Iran lazima ifanye makubaliano na kuokoa kile ambacho hapo awali kilijulikana kama Dola ya Iran. Hakuna kifo tena, hakuna uharibifu tena, FANYA TU, KABLA HAMJACHELEWA." Hapo awali Trump alisema anafahamu mipango ya Israel kabla ya kuanza mashambulizi usiku kucha, lakini aliweka wazi kuwa wanajeshi wa Marekani hawakushiriki katika operesheni hiyo.

NAFASI ZA KAZI AMREF

 Amref Health Africa in Tanzania is a non-profit public health organization supporting the Government of Tanzania to address public health issues including maternal and child health, HIV, TB, Malaria and Nutrition in Tanzania since 1987.

Amref Health Africa in Tanzania is funded by The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) through CDC Tanzania, to execute a robust HIV care and treatment clinical cascade project aiming to accelerate the achievement of the current 95-95-95 goals and the HIV epidemic control in Tanzania.




The project branded as Afya Kamilifu Project is implemented in Tanga and Zanzibar since October, 2018, Simiyu Region since 2020. From October 2021 this project will extend its operations to Mara Region covering facility based and community based HIV care and treatment services. Afya Kamilifu project works – in collaboration with and with guidance from the Tanzania Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Zanzibar Ministry of health and President’s Office Regions Authority and Local Government (PORALG).

62 JOBS OPPORTUNITIES AT AMREF HEALTH AFRICA IN TANZANIA, 2021


APPLICATION INSTRUCTIONS

If you meet the criteria given above and interested in the vacancies, please send an application letter and CV combined in as one PDF document indicating your present employer and position, daytime telephone contact, names and addresses of three referees. All interviews will be conducted at Amref Health Africa country Office in Dar es Salaam for shortlisted applicants. To be considered, your application must be received by 16.30 HOURS August 07, 2021. The subject line of your job application email should mention the job position that you are applying as it appears in this advertisement. Failure to do that your application may not easily be retrieved.

All correspondences and applications should be emailed to: jobs.tanzania@amref.org


Comments

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

INSIGNIA LIMITED COMPANY

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)