Trump aitaka Iran kuingia makubaliano ya nyuklia, akionya kuhusu mashambulizi ya kikatili zaidi

  Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran kufanya makubaliano kuhusu mpango wake wa nyuklia, akisema aliipa Tehran nafasi baada ya mazungumzo kati ya Marekani na Iran kuhusu makubaliano yalikuwa yanakaribia kuingia awamu ya sita Jumapili. "Niliwaambia, kwa maneno makali, "fanyeni tu," ingawa walijaribu sana, haijalishi walikuwa karibu vipi, hawakuweza kufanikiwa," Trump anaandika kwenye mtandao wa kijamii wa Truth. "Iran lazima ifanye makubaliano na kuokoa kile ambacho hapo awali kilijulikana kama Dola ya Iran. Hakuna kifo tena, hakuna uharibifu tena, FANYA TU, KABLA HAMJACHELEWA." Hapo awali Trump alisema anafahamu mipango ya Israel kabla ya kuanza mashambulizi usiku kucha, lakini aliweka wazi kuwa wanajeshi wa Marekani hawakushiriki katika operesheni hiyo.

Karibuni chamani hii ni blog kwajili ya matangazo ya uwabata na taarifa fupi na ndefu zitakuwa huku

Comments

Johanes said…
Yaani Mimi nakufa humuhumu
BIGBOSS said…
Kwa kadi tumia hii link kujaza form
Link ni : uwabata.cf
BIGBOSS said…
Karibu Sana mkuu
LEGUSC said…
Tuko pamoja kk @Paul Daniel
BIGBOSS said…
Karibu kiongozi
NYERERE JASSON said…
Jamani kwema
Naomba kuungwa kwa hiki chama
Kwenye magroup ya whats app na facebook
Nitashukuru sana
Namba yangu ni +255684208922
NYERERE JASSON said…
Tafadhali naomba muni add kwa wasap +255684208922
Unknown said…
Hi iko poa nani kiongozi
Muhilu said…
Naomba uniunge WhatsApp 0754537246

UWABATA TV

UWABATA TANGAZO

INSIGNIA LIMITED COMPANY

Kwanini ulaji wa nyama za watu katika nchi za Ulaya ulitumika kama tiba ya hali ya juu?

GRUMETI FUND TRUST,

Total Tanzania Careers 2021, Total Tanzania Jobs 2021

TECHNICIAN II (ELECTRICAL)