Posts

Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

NAFASI ZA KAZI AMREF

  Amref Health Africa in Tanzania is a non-profit public health organization supporting the Government of Tanzania to address public health issues including maternal and child health, HIV, TB, Malaria and Nutrition in Tanzania since 1987. Amref Health Africa in Tanzania is funded by The U.S. President’s Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) through CDC Tanzania, to execute a robust HIV care and treatment clinical cascade project aiming to accelerate the achievement of the current 95-95-95 goals and the HIV epidemic control in Tanzania. The project branded as Afya Kamilifu Project is implemented in Tanga and Zanzibar since October, 2018, Simiyu Region since 2020. From October 2021 this project will extend its operations to Mara Region covering facility based and community based HIV care and treatment services. Afya Kamilifu project works – in collaboration with and with guidance from the Tanzania Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children, Zanzibar Min...

NAFASI ZA KAZI MRADI WA UMEME RUFIGI

MRADI WA UMEME RUFIGI June 2021 JVACEE is a Joint venture company of Arab Contractors and El-sewedy Electric, dealing with the scope of Engineering, Procurement & Construction of Julius Nyerere Hydropower Project in Stigler’s Gorge in Tanzania, which is expected to produce 2,115 MW of installed capacity. Project Objectives: Generating electricity with capacity of 2115MW to satisfy energy needs in Tanzania Control water flow in the period of flooding and thus providing the necessary water requirement Scope of Work: -Main dam for storage of water to generate hydropower using RCC concrete for main dam with total length 1025m at crest level and 130m dam level -Construction of 4 saddle dams for reservoir impounding of water with length of 1.4km, 7.9km, 4.6km and 2.6km with a maximum height 21.3m, 14m, 12.4m and 5.5m respectively, with a capacity to impound approximately 33 billion m3 of water -Construction of a hydropower plant with a capacity of 2115mw and a substation of 400kv; in add...

GRUMETI FUND TRUST,

Image
 Grumeti Fund Trust (Grumeti Fund) is a non-profit organization created in Tanzania in 2003. The GFT mission is to contribute to the conservation of the Serengeti Ecosystem in partnership with local communities and other stakeholders. Grumeti Fund Trust located in the concessions of Western Corridor of the Serengeti Ecosystem, collaborates with Tanzanian institutions to manage concession lands and enhance conservation activities in the ecosystem, and works in partnership with local communities and local government to support development initiatives.  JOB TITLE: COMMUNICATION COORDINATOR (1) LOCATION: Grumeti, Mara Region, Tanzania JOB PURPOSE  The responsibility of the Communication Coordinator within the Grumeti Fund Trust is to ensure that information, stories and content about the work of Grumeti Fund Trust is shared with various groups of people, including the surrounding communities, government partners, key stakeholders, donors and an international audience. The cha...

UWABATA TANGAZO

  TAARIFA KWA UFUPI, TUMEBORESHA BLOG YETU KWA KUWEKA FOMU YA USAJILI UPANDE WA KUSHOTO KWA JUU KWENYE HIZO MISTARI MITATU HAPO JUU YA BLOG KUSHOTO, ZIBONYEZE HIZO MISTARI MITATU KISHA SHUKA CHIZI KWENYE LINK YA BLUE KISHA BONYEZA LINK ANZA KUJAZA FOMU YAKO ILI KUPATA KITAMBULISHO CHAKO MAPEMA  KUJAZA FOMU KWA KUTUMIA BLOG UNAPATA KITAMBULISHO CHAKO BURE KABISA BILA YA MALIPO YOYOTE  KARIBUNI VYOTE VIONGOZI WAPYA WA UWABATA  SHUKRAN Wenu Mtiifu, mwenyekiti uwabata

HABARI WANAUWABATA

https://mabumbe.com/jobs/branch-manager-at-uba-bank-february-2021/

Ajira mpya hizi : https://ajirampya2021.blogspot.com/2021/01/10-job-opportunities-at-job-junction.html

Karibuni chamani hii ni blog kwajili ya matangazo ya uwabata na taarifa fupi na ndefu zitakuwa huku