Posts

Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

Pentagon to 'rush' Patriot missiles to Ukraine in $6bn package

Image
  The Pentagon says it will "rush" Patriot air defence missiles and artillery ammunition to Ukraine as part of its new military aid package. However Patriot systems for launching the missiles will not be sent, Defence Secretary Lloyd Austin said. Ukrainian President Volodymyr Zelensky said Patriots were "urgently" needed to face a growing Russian air threat and "can and should save lives right now". On Saturday, Ukraine said Russia had carried out another massive air attack. Authorities in Kharkiv said a hospital was damaged. Energy facilities in three regions were attacked, Energy Minister German Galushchenko said. Russia attacked with cruise missiles, S-300 surface-to-air missiles and Iskander ballistic missiles, Ukraine said, adding that 21 were downed using aircraft, air defence systems and jamming. Ukraine claimed to have hit two Russian oil refineries across the border. Footage from one in the Russian region of Krasnodar appeared to have caused a lar...

Vita vya Ukraine: Marekani yatuma kwa siri makombora ya masafa marefu kusaidia Kyiv

Image
  CHANZO CHA PICHA, REUTERS Ukraine imeanza kutumia makombora ya masafa marefu yaliyotolewa kwa siri na Marekani dhidi ya Urusi, maafisa wa Marekani wamethibitisha. Silaha hizo zilikuwa sehemu ya msaada wa $300m (£240m) ulioidhinishwa na Rais wa Marekani Joe Biden mwezi Machi na ziliwasili mwezi huu. Tayari zimetumika angalau mara moja kulenga shabaha za Urusi katika eneo linalokaliwa la Crimea, ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema. Bwana Biden sasa ametia saini kifurushi kipya cha msaada cha $61bn kwa Ukraine. Hapo awali Marekani iliipatia Ukraine toleo la masafa ya kati la Mifumo ya silaha za Makombora (ATACMS) lakini ilikuwa ikisita kutuma kitu chochote chenye nguvu zaidi, kwa sababu ya wasiwasi wa kuhatarisha utayari wa kijeshi wa Marekani. Hata hivyo, Bw Biden anasemekana kuidhinisha kwa siri kutuma mfumo wa masafa marefu - ambao unaweza kurusha makombora umbali wa hadi 300km (maili 186) - mnamo Februari. "Naweza kuthibitisha kwamba Marekani iliipatia Ukraine ATA...