Posts

Showing posts from October, 2023

Mpalestina aliyeshinda tuzo ya Grammy ashambuliwa na walowezi wa Israel na kukamatwa na jeshi

Image
 Mshindi wa tuzo ya Oscar ya Palestina ameshambuliwa na walowezi wa Israel, wanaharakati walioshuhudia tukio hilo wanasema, kabla ya kukamatwa na jeshi la Israel. Hamdan Ballal, mmoja wa wakurugenzi wenza wanne wa shirika la ‘No Other Land{hakuna Ardhi Nyingine} , alikuwa na nyumba yake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa na Israel ikiwa imezingirwa na walowezi wakati wa shambulio la Jumatatu, Kituo cha Kundi la Waasi wa Kiyahudi (CJNV) kilisema. Mkurugenzi mwenza Yuval Abraham alisema Bw Ballal alipigwa na walowezi kisha kuchukuliwa na wanajeshi akiwa kwenye gari la wagonjwa. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema hakuna Mpalestina aliyezuiliwa kutoka kwa gari la wagonjwa. Bila kumtaja Bw Ballal, IDF ilisema Wapalestina watatu na Muisraeli wamezuiliwa kwa tuhuma za "kurusha mawe" kwa vikosi vya usalama. Mwanaharakati ambaye alikuwa katika eneo la tukio aliambia BBC kuwa Wapalestina watatu waliozuiliwa, akiwemo Bw Ballal, walijeruhiwa katika shambulio la walowezi na sasa ...

Israel yasema ushahidi unaonyesha mlipuko wa hospitali ulitoka Gaza huku Netanyahu akianza mazungumzo na Biden

Image
  Rais wa Marekani Joe Biden amemwambia waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba "inaonekana" "shambulio la hospitali ya Al Ahli lilitekelezwa na kundi jingine ". Biden anasema "amehuzunishwa sana na kukasirishwa" na tukio hilo. "Kulingana na kile nimeona inaonekana kana kwamba shambulio hilo lilitekelezwa na kundi jingi, sio wewe. Lakini kuna watu wengi huko nje ambao hawana uhakika, kwa hivyo lazima tukabiliane na mambo mengi," alisema. BBC inajaribu kuunganisha vipande vidogo vidogo vya mlipuko wa hospitali ya jana usiku - ambao Hamas na mamlaka ya Palestina wanailaumu Israel kwa kutekeleza shambulio la angani. Rais Biden anasema alitembelea Israel ili kuonyesha mahali Marekani iinaunga mkono katika mzozo huo. Anaendelea kuelezea mauaji ya Hamas tarehe 7 Oktoba. Anasema "siyo sifa " kusema "walichinja" watu 1,300, ikiwa ni pamoja na Wamarekani 31. Pia alizungumzia kuhusu mateka wa Israeli, pamoja na watoto. "Heb...

Melodic Techno & Progressive House Mix Olaroch

Image