Posts

Showing posts from July, 2023

Mpalestina aliyeshinda tuzo ya Grammy ashambuliwa na walowezi wa Israel na kukamatwa na jeshi

Image
 Mshindi wa tuzo ya Oscar ya Palestina ameshambuliwa na walowezi wa Israel, wanaharakati walioshuhudia tukio hilo wanasema, kabla ya kukamatwa na jeshi la Israel. Hamdan Ballal, mmoja wa wakurugenzi wenza wanne wa shirika la ‘No Other Land{hakuna Ardhi Nyingine} , alikuwa na nyumba yake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa na Israel ikiwa imezingirwa na walowezi wakati wa shambulio la Jumatatu, Kituo cha Kundi la Waasi wa Kiyahudi (CJNV) kilisema. Mkurugenzi mwenza Yuval Abraham alisema Bw Ballal alipigwa na walowezi kisha kuchukuliwa na wanajeshi akiwa kwenye gari la wagonjwa. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema hakuna Mpalestina aliyezuiliwa kutoka kwa gari la wagonjwa. Bila kumtaja Bw Ballal, IDF ilisema Wapalestina watatu na Muisraeli wamezuiliwa kwa tuhuma za "kurusha mawe" kwa vikosi vya usalama. Mwanaharakati ambaye alikuwa katika eneo la tukio aliambia BBC kuwa Wapalestina watatu waliozuiliwa, akiwemo Bw Ballal, walijeruhiwa katika shambulio la walowezi na sasa ...

DP WORLD NI NINI

  DP World   ni   kampuni   ya kimataifa ya   Emirati   inayojihusisha na usafirishaji iliyoko   Dubai ,   Falme za Kiarabu . Imejikita na usafirishaji wa mizigo, shughuli za   bandari , huduma za baharini na maeneo ya biashara huria. Iliundwa mwaka   2005   kwa muunganiko wa mamlaka ya bandari ya Dubai ( Dubai Ports Authority ) na mamlaka ya bandari ya Dubai kimataifa ( Dubai Ports International ), DP World inashughulikia   makontena   milioni 70 ambayo huletwa na karibu   meli   70,000 kila mwaka. Hii ni sawa na takriban 10% ya makontena yanayosafirishwa ya kimataifa yanayotolewa na vituo vyao 82 vya baharini na nchi kavu vilivyopo katika zaidi ya nchi 40. Hadi mwaka   2016 , DP World ndiyo kampuni iliyokuwa ikiendesha bandari kimataifa, na tangu wakati huo, imepata na kushirikiana na makampuni mengine juu na chini ya mnyororo wa thamani. Historia [ hariri  |  hariri chanzo ] Zamani [ hariri ...