Posts

Showing posts from June, 2021

Trump apotosha kwa kutumia picha ya Congo na kudai ni ya mauaji ya kimbari ya Wazungu wa Afrika Kusini

Image
  Rais wa Marekani Donald Trump alionyesha picha iliyochukuliwa katika video ya shirika la habari la Reuters katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kuiwasilisha kama ushahidi wa mauaji ya halaiki ya Wazungu wa Afrika Kusini. "Hawa wote ni wakulima wa kizungu ambao wanazikwa," Trump alisema siku ya Jumatano, akionesha picha hiyo wakati wa mkutano katika Ikulu ya Marekani na Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa. Picha hiyo ilitokana na video iliyochapishwa na Reuters Februari 3, 2025, inaonyesha wafanyakazi wa kibinadamu wakinyanyua mifuko yenye miili katika mji wa Goma nchini Congo. Picha hiyo ilitolewa kutoka katika video ya Reuters iliyopigwa kufuatia mapigano makali na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda. Picha hiyo iliyooneshwa na Trump lilichapishwa na American Thinker, jarida la kihafidhina la mtandaoni – likionesha migogoro na mivutano ya kirangi Afrika Kusini na Congo. Ikulu ya White House haikujibu maswali ya Reuters kuhusu picha hiyo. Andrea Widburg, mhariri ...

NAFASI ZA KAZI MRADI WA UMEME RUFIGI

MRADI WA UMEME RUFIGI June 2021 JVACEE is a Joint venture company of Arab Contractors and El-sewedy Electric, dealing with the scope of Engineering, Procurement & Construction of Julius Nyerere Hydropower Project in Stigler’s Gorge in Tanzania, which is expected to produce 2,115 MW of installed capacity. Project Objectives: Generating electricity with capacity of 2115MW to satisfy energy needs in Tanzania Control water flow in the period of flooding and thus providing the necessary water requirement Scope of Work: -Main dam for storage of water to generate hydropower using RCC concrete for main dam with total length 1025m at crest level and 130m dam level -Construction of 4 saddle dams for reservoir impounding of water with length of 1.4km, 7.9km, 4.6km and 2.6km with a maximum height 21.3m, 14m, 12.4m and 5.5m respectively, with a capacity to impound approximately 33 billion m3 of water -Construction of a hydropower plant with a capacity of 2115mw and a substation of 400kv; in add...