Posts

Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

New Job Opportunity at Coca Cola Kwanza Limited - Preventive Maintenance Planner

  Preventive Maintenance Planner - CDE Details Reference Number  CCB220120-2 Job Title  Preventive Maintenance Planner - CDE Job Category  Logistics Company  Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type  Permanent Location - Country  Tanzania Location - Province  Not Applicable Location - Town / City  Dar es Salaam Recommended: PAST PAPERS ZA DARASA LA 7 MPAKA FORM SIX | NECTA AND MOCK EXAMS 1988 - 2019. CLICK HERE! Job Description Coca-Cola Kwanza has an exciting opportunity in our Manufacturing department. We are looking for talented individual with relevant skills and experience for a Plant Maintenance Planner Coolers role, which is based in Dar-es-Salaam. The successful candidate will report directly to the Fleet & CDE Manager. The Preventive Maintenance Planner – CDE prepares preventive and corrective maintenance plans and schedules in accordance with the CDE Maintenance Strategy, minimizing response time to maintenance and repair calls, max...

Hofu Yatanda Walipo Mastaa Hawa!

Image
  MIONGONI mwa sintofahamu inayoendelea ni kutojulikana alipo aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Mikalla aliyeng’ara kwenye Filamu ya The Lost Twins akitumia jina la Anita; filamu iliyoandaliwa na aliyekuwa kinara wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba chini ya Kampuni ya Mtitu First Game Quality.   Sintofahamu hiyo imesababisha hofu kutanda miongoni mwa mashabiki juu ya ni wapi walipo baadhi ya mastaa wao ambao waling’ara mno, lakini sasa hawajulikani walipo huku wengine wakidaiwa hali zao ni mbaya kimaisha. Hata hivyo, kama ilivyo desturi ya Gazeti la IJUMAA kudili na mastaa ndani na nje ya Bongo linakuletea ripoti nzito ya nani yupo wapi na anafanya nini?   MIKALLA Ni kweli Mikalla alikuwa ni mwigizaji mkali kuanzia kipaji hadi uzuri ambapo wengi waliomshuhudia katikati ya miaka ya 2010 walikiri kwamba atakuja kuwa staa mkubwa wa Bongo Movies, lakini mambo yakawa kinyume. Mbali na Filamu ya The Lost Twins, Mikalla alifanya vizuri mno kwenye Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu...

Nafasi ya Kazi katika EFTA Ltd, Ofisi ya Juu ya Usimamizi wa Miradi

  Senior Project Management Officer EFTA Ltd   Dar es Salaam, Tanzania About the job ABOUT US: EFTA is an institution dedicated to small enterprises and producer groups that have outgrown microfinance but are unable to access bank finance due to prohibitive collateral requirements. The business model is based on a highly standardized financial lease product to finance equipment and machinery. The equipment provides a collateral substitute which allows EFTA to lend without collateral making this highly accessible and expanding access to finance considerably. EFTA uses a branch-based model, serving and maintaining relationships with the customer. The product is tailored to this market, with a three-year (maximum) repayment term and with the ability to modify the repayment schedule where strong businesses face temporary income shocks Job Description: Reports to: Administrative to Managing Director and Functionally EFTA Board chairma Working Location: EFTA HQ (Dar es Salaam) ...

5 Easy Tips on How to Disable USB Port in Windows 10

Image
  By UWABATA  Dated: December  15, 2021 Spread the love How often have you experienced, A USB port blocked at school, college or in your workplace because the administrator has disabled USB drive detection for security purpose. Or you may be experienced any of these conditions, Not allowed to inject a pen drive at the local Internet Cyber Cafe, Being a victim of data theft because someone connected an unauthorized USB to your computer, Computer getting infected by virus or malware from USB Drive I believe, many a times. Enabling/Disabling computer USB Port is done either to follow security rules or just to prevent malicious activity from taking place. Let’s look at how to disable USB Port in Windows 10. There are 5 ways an Administrator or a Computer Owner can prevent the use of USB Drives. Use the Device Manger To Disable USB Ports By Uninstalling USB Mass Storage Drivers Block USB Port in Windows 10 through Registry Block USB Port in Windows 10 through Group Policy...