Posts

Tundu Lissu afikishwa Mahakamani asomewa shitaka la uhaini

Image
  Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini tanzania, Chadema, Tundu Lissu jioni hii amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, na kusomewa shitaka moja la uhaini. Tundu anayetetewa kwa sasa na Mawakili sita ambao ni Dk. Rugemeleza Nshalla, Dickson Matata, Jebra Kambole, Michael Lugina, Hekima Mwasipu, na Gaston Garubindi, alisomewa shitaka hilo la Wakili Nassoro Katuga Awali Jeshi la Polisi nchini Tanzania lilisema lilimkamata Lissu jana mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kufanya uchochezi wa kutofanyika Uchaguzi Mkuu 2025. Aidha Polisi nchini humo kupitia taarifa yake ilitoa onyo kwa vyama vyote vya siasa kutotoa maneno ya uchochezi, kashfa kwa Polisi na Serikali au viashiria vyovyote vya uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu. Mapema Polisi walipiga mabomu ya machozi na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Chadema huku wakizua viongozi wa chama hicho kufanya mkutano na waandishi wa habari. Vyombo vy...

INSIGNIA LIMITED COMPANY

  JOB Title:  Paint Production Supervisor (2 Post) Duty Station: Dar es Salaam Reports to: Paint Production Executive Primary Tasks Interpretation and implementation of production schedule received from Production manager Supervises and coordinates activities of workers engaged in mixing, grinding, thinning, tinting and other activities in paint production Coordination activities with Paint Production manager and other departments as necessary Responsibility and Accountabilities: Supervision of production teams to ensure production schedule is met. Organize Production activities in order to ensure Productivity and Efficiency of the deployed manpower Control operational performance to achieve production targets and associated plant objectives Coordinate and manage production on day to day, monthly and yearly basis, ensuring best utilization of production capacity, deployment of manpower and other resources. Adherence to industry and company HSE requirements including compliance...

NAFASI ZA KAZI AMREFU HEALTH AFRICA

 BACKGROUND:    Amref Health Africa in Tanzania is a non-profit public health organization supporting the Government of Tanzania to address public health issues including maternal and child health, HIV, TB, Malaria and Nutrition in Tanzania since 1987. Amref Health Africa in Tanzania is funded by The U.S. President's Emergency Plan for AIDS Relief (PEPFAR) through CDC Tanzania, to execute a robust HIV care and treatment clinical cascade project aiming to accelerate the achievement of the current 95-95-95 goals and the HIV epidemic control in Tanzania. The project branded as Afya Kamilifu Project is implemented in Tanga and Zanzibar since October, 2018, Simiyu Region since 2020. From October 2021 this project will extend its operations to Mara Region covering facility based and community based HIV care and treatment services. Afya Kamilifu project works - in collaboration with and with guidance from the Tanzania Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly an...