Posts

Showing posts from January, 2022

Mpalestina aliyeshinda tuzo ya Grammy ashambuliwa na walowezi wa Israel na kukamatwa na jeshi

Image
 Mshindi wa tuzo ya Oscar ya Palestina ameshambuliwa na walowezi wa Israel, wanaharakati walioshuhudia tukio hilo wanasema, kabla ya kukamatwa na jeshi la Israel. Hamdan Ballal, mmoja wa wakurugenzi wenza wanne wa shirika la ‘No Other Land{hakuna Ardhi Nyingine} , alikuwa na nyumba yake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa na Israel ikiwa imezingirwa na walowezi wakati wa shambulio la Jumatatu, Kituo cha Kundi la Waasi wa Kiyahudi (CJNV) kilisema. Mkurugenzi mwenza Yuval Abraham alisema Bw Ballal alipigwa na walowezi kisha kuchukuliwa na wanajeshi akiwa kwenye gari la wagonjwa. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema hakuna Mpalestina aliyezuiliwa kutoka kwa gari la wagonjwa. Bila kumtaja Bw Ballal, IDF ilisema Wapalestina watatu na Muisraeli wamezuiliwa kwa tuhuma za "kurusha mawe" kwa vikosi vya usalama. Mwanaharakati ambaye alikuwa katika eneo la tukio aliambia BBC kuwa Wapalestina watatu waliozuiliwa, akiwemo Bw Ballal, walijeruhiwa katika shambulio la walowezi na sasa ...

New Job Opportunity at Coca Cola Kwanza Limited - Preventive Maintenance Planner

  Preventive Maintenance Planner - CDE Details Reference Number  CCB220120-2 Job Title  Preventive Maintenance Planner - CDE Job Category  Logistics Company  Coca-Cola Kwanza (Tanzania) Job Type  Permanent Location - Country  Tanzania Location - Province  Not Applicable Location - Town / City  Dar es Salaam Recommended: PAST PAPERS ZA DARASA LA 7 MPAKA FORM SIX | NECTA AND MOCK EXAMS 1988 - 2019. CLICK HERE! Job Description Coca-Cola Kwanza has an exciting opportunity in our Manufacturing department. We are looking for talented individual with relevant skills and experience for a Plant Maintenance Planner Coolers role, which is based in Dar-es-Salaam. The successful candidate will report directly to the Fleet & CDE Manager. The Preventive Maintenance Planner – CDE prepares preventive and corrective maintenance plans and schedules in accordance with the CDE Maintenance Strategy, minimizing response time to maintenance and repair calls, max...

Hofu Yatanda Walipo Mastaa Hawa!

Image
  MIONGONI mwa sintofahamu inayoendelea ni kutojulikana alipo aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Mikalla aliyeng’ara kwenye Filamu ya The Lost Twins akitumia jina la Anita; filamu iliyoandaliwa na aliyekuwa kinara wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba chini ya Kampuni ya Mtitu First Game Quality.   Sintofahamu hiyo imesababisha hofu kutanda miongoni mwa mashabiki juu ya ni wapi walipo baadhi ya mastaa wao ambao waling’ara mno, lakini sasa hawajulikani walipo huku wengine wakidaiwa hali zao ni mbaya kimaisha. Hata hivyo, kama ilivyo desturi ya Gazeti la IJUMAA kudili na mastaa ndani na nje ya Bongo linakuletea ripoti nzito ya nani yupo wapi na anafanya nini?   MIKALLA Ni kweli Mikalla alikuwa ni mwigizaji mkali kuanzia kipaji hadi uzuri ambapo wengi waliomshuhudia katikati ya miaka ya 2010 walikiri kwamba atakuja kuwa staa mkubwa wa Bongo Movies, lakini mambo yakawa kinyume. Mbali na Filamu ya The Lost Twins, Mikalla alifanya vizuri mno kwenye Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu...