Posts

Showing posts from May, 2021

Mpalestina aliyeshinda tuzo ya Grammy ashambuliwa na walowezi wa Israel na kukamatwa na jeshi

Image
 Mshindi wa tuzo ya Oscar ya Palestina ameshambuliwa na walowezi wa Israel, wanaharakati walioshuhudia tukio hilo wanasema, kabla ya kukamatwa na jeshi la Israel. Hamdan Ballal, mmoja wa wakurugenzi wenza wanne wa shirika la ‘No Other Land{hakuna Ardhi Nyingine} , alikuwa na nyumba yake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa na Israel ikiwa imezingirwa na walowezi wakati wa shambulio la Jumatatu, Kituo cha Kundi la Waasi wa Kiyahudi (CJNV) kilisema. Mkurugenzi mwenza Yuval Abraham alisema Bw Ballal alipigwa na walowezi kisha kuchukuliwa na wanajeshi akiwa kwenye gari la wagonjwa. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema hakuna Mpalestina aliyezuiliwa kutoka kwa gari la wagonjwa. Bila kumtaja Bw Ballal, IDF ilisema Wapalestina watatu na Muisraeli wamezuiliwa kwa tuhuma za "kurusha mawe" kwa vikosi vya usalama. Mwanaharakati ambaye alikuwa katika eneo la tukio aliambia BBC kuwa Wapalestina watatu waliozuiliwa, akiwemo Bw Ballal, walijeruhiwa katika shambulio la walowezi na sasa ...

GRUMETI FUND TRUST,

Image
 Grumeti Fund Trust (Grumeti Fund) is a non-profit organization created in Tanzania in 2003. The GFT mission is to contribute to the conservation of the Serengeti Ecosystem in partnership with local communities and other stakeholders. Grumeti Fund Trust located in the concessions of Western Corridor of the Serengeti Ecosystem, collaborates with Tanzanian institutions to manage concession lands and enhance conservation activities in the ecosystem, and works in partnership with local communities and local government to support development initiatives.  JOB TITLE: COMMUNICATION COORDINATOR (1) LOCATION: Grumeti, Mara Region, Tanzania JOB PURPOSE  The responsibility of the Communication Coordinator within the Grumeti Fund Trust is to ensure that information, stories and content about the work of Grumeti Fund Trust is shared with various groups of people, including the surrounding communities, government partners, key stakeholders, donors and an international audience. The cha...